Skip to main content

Posts

Showing posts with the label Dondoo za Lishe/ Nutrition Recipes
""Kwa msaaada zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0754031039/0655568468 AfyaLishe Tz kwa ajili yako""

COUNSELLING DESK

COUNSELLING DESK
Tumia huduma yetu ya ushauri, na kujadiliana. Kwa matatizo ya kifamilia, kibiashara, kielimu, kiafya, mahusiano na mfumo mzima wa maisha wasiliana nasi kwa 0754031039 au 0655568468

FAIDA ZA MBEGU ZA MABOGA/PUMKIN SEEDS IMPORTANCE

SWAHILI Inapigana na kansa Inatuliza akili na kusaidia kupata usingizi. Inasaidia kazi za mwili kama kuvunja vunja chakula na kunyonya virutubishi. Ina kiwango kizuri cha protini Hivyo hujenga mwili. Ina kiwango kizuri cha kalsiamu hivo inasaidia kuzuia matatizo ya miguu (mifupa) kwa kina mama hasa uzeeni. Inaepusha magonjwa ya moyo sababu ina aina nzuri ya mafuta yasiyo na high cholesterol. Inasaidia afya ta figo. Inasaidia kuimarisha kinga mwilini Huongeza uwezo wa uzazi kwa wanaume Itumike kwa kiasi inaweza leta unene.       Hutuliza presha. Hudhibiti kisukari. Husaidia uumbaji wa mtoto, wakati mama ni mjamzito. Husaidia kuongeza kiwango cha maziwa kwa mama anaenyonyesha. Inaweza kuliwa ikiwa imesagwa na kutumika kama kiungo kwenye kachumbari na vyakula. Lakini pia inaweza kukaangwa na kutafunwa kama kkaranga. ENGLISH. Pumpkin seeds are delicious and often overlooked parts of a pumpkin, which have many health benefits and nutrients packed ...

BELL PEPPER/PILIPILI HOHO

SWAHILI PILIPILI HOHO  -Husaidia kuondoa mafuta yaliyozidi mwilini. -Hudhibiti madhara katika baadhi ya kansa. -Hileta harufu na ladha nzuri ya chakula. -Husaidia kufanya ngozi na nywele kuwa na mvuto. -Husaidiakudhibiti baadhi ya magonjwa ya macho. -Husaidia kudhibiti kisukari. -Huumarisha afya ya neva na kujenga seli mpya. ENGLISH Bell peppers are low in calories! So, even if you eat one full cup of them, you get just about 45 calories. Bonus: that one cup will give you more than your daily quota of Vitamin A and C! They contain plenty of vitamin C, which powers up your immune system and keeps skin youthful.  The highest amount of Vitamin C in a bell pepper is concentrated in the red variety. Red bell peppers contain several phytochemicals and carotenoids,  particularly beta-carotene, which lavish you with antioxidant and anti-inflammatory benefits. The capsaicin in bell peppers has multiple health benefits. Studies show that it reduces ‘...

FAIDA ZA NYUKI

UFUGAJI WA NYUKI KWENYE MIZINGA 🐝🐝🐝🐝🐝🐝🐝 Nyuki ni chanzo cha uzalishaji wa asali 🐝Ufugaji nyuki (au *apiculture*,  jina limetokana na neno la Kilatini apis= nyuki)  🐝Apiculture ni ufugaji wa nyuki wa asali unaohusisha utengenezaji wa mizinga ya nyuki, mara nyingi ikiwa ni pamoja na kuwazalisha nyuki kwa makundi toafauti tofauti. 🐝 Mfugaji wa nyuki (au apiarist) hufuga nyuki ili kukusanya asali na bidhaa nyingine zitikanazo na ufugaji wa nyuki.  🐝Eneo ambapo nyuki wanahifadhiwa au kufugwa huitwa "apiary" 🐝Asali hutumika kama chakula pia inajulikana kuwa na thamani ya dawa. Inajulikana kuwa muhimu sana katika matibabu ya matatizo mbalimbali ya wanadamu kuhusiana na mmeng'enyo wa chakula yaani  digestion, ugonjwa wa kuhara kutapika, magonjwa ya  tumbo na ugonjwa wa ini. 🐝 Utafiti wa kisasa unaonyesha kwamba asali: 🐝Inazuia ukuaji wa bakteria ya mdomo Inatengeneza layer mdomoni na  kwenye koo na hupunguza vidonda kooni. Pia a...

MORINGA BENEFITS/ FAIDA ZA MLONGE

MLONGE Inaweza kutumika kwa ajili ya upishi na dawa. Mbegu hizi ni chakula ila  zinapaswa kutafunwa, badala ya kuzimeza nzima nzima, pia ni muhimiu zikapikwa au kukaushwa kabla ya kuliwa, badala ya kula mbichi. UMUHIMU KATIKA LISHE Mbegu za Moringa ni chanzo kikubwa cha Madini chuma, Potasiamu, Vitamini A, Vitamini C, Calcium, Amino asidi, na Nyuzi za chakula/Fibers. FAIDA ZAKE KIUNDANI -Huongeza mfumo wa kinga ya mwili. -Hupunguza shinikizo la damu. -Kurahisisha upatikanaji wa usingizi, na -Kuongeza afya ya ngozi, nywele na mifupa. MAELEZO KWA KINA. Huongeza mfumo wa kinga ya mwili. Uchunguzi umegundua kwamba mbegu hizi zina tabia za kinga dhidi ya vimelea na virusi, kutokana na mkusanyiko wao mkubwa wa vitamini C, pamoja na viuasumu mbalimbali ambavyo kiujumla vinaimarisha kinga ya mwili. Kupungua uzito kwa sababu ya kiwango kikubwa cha nyuzi chakula/ Fiber, hizi zitasaidia kushibisha, na hivyo kupunguza tamaa ya kula isiyo rasmi. Msaada wa Kulala. R...

CHAGUO BORA LA VYAKULA/ RIGHT CHOICES OF FOODS.

Chagua lishe bora leo!!! Vyakula vinaweza kuchangia katika kuzuia na kutibu magonjwa, lakini pia vinaweza kuwa visababishi vya magonjwa hayo.

FOOD AND ITS IMPORTANCE/ CHAKULA NA FAIDA ZAKE

What to expect from food Food  is a natural or manufactured product, solid or liquid, that contains one or more of the nutrients that the human organism requires for the development of vital functions. What to expect from food?

GET RID OF KIDNEY STONES / ONDOA MAWE KWENYE FIGO

Kidneys are some of the essential organs in a human body. They serve a multitude of purposes, perhaps most importantly and notably as the main player in the urinary function of the body. Kidneys not only filter the blood in a body, but they also remove wastes and toxins for excretion and maintain blood pressure by regulating a proper salt and water balance in the body.

KNOW DIABETES AND ITS PROPER DIET/ IFAHAMU KISUKARI NA LISHE YAKE SAHIHI

Diabetes affects the body in many different ways, and can even be deadly, but your dietary choices can also have a large impact on how much this condition affects you. A diabetic diet containing grains, proteins, fruits, vegetables, fats, and dairy is your best bet if you want to live a normal life with diabetes.

IJUE LISHE BORA (Usalama wa Maji na Usafi) / KNOW A HEALTHY DIET (Wash Concept BONUS)

HEALTHY DIET A healthy diet means eating variety of foods from all the main food groups in order to get all the nutrients that are needed by the body. It is important for a person to eat a healthy diet for a healthy and longer life.

DHIBITI ULEVI WA KUPINDUKIA/ CONTROL EXCESSIVE ALCOHOLISM

ORANGE JUICE Alcoholism is a very tough disease to overcome, as the temptations are everywhere, and are generated both physically and mentally in your body.

DHIBITI MSONGO NA PARACHICHI/ CONTROL STRESS WITH AVOCADO

DHIBITI MSONGO NA PARACHICHI/ CONTROL STRESS WITH AVOCADO. ENGLISH VERSION If you are looking for a delicious and nutritious way to lower your stress levels, look no further than an avocado. B vitamins are heavily involved in regulating our metabolism and hormone levels, both of which are impacted by social anxiety disorder.

AINA ZA MAZIWA NA FAIDA ZAKE

AINA ZA MAZIWA NA FAIDA ZAKE Kuna aina kadhaa za maziwa, maziwa ya ng'ombe yanaweza kuwa ya kawaida na yanaweza kuwa sio chaguo bora zaidi, hasa kwa suala la maudhui ya jumla ya virutubisho.

MILK TYPES AND ITS BENEFITS.

MILK TYPES AND ITS BENEFITS. ☕There are quite a few different types of milk, and while cow’s milk may be the most common, it may not always be the best choice, particularly in terms of overall nutrient content.

CONTROL HEADACHE/ DHIBITI MAUMIVU YA KICHWA

DHIBITI MAUMIVU YA KICHWA KWA TANGAWIZI. SWAHILI 🍁Tangawizi ina viungo vingi vyenye uwezo wa  kupambana na madhara mbali mbali yanayoupata mwili. 🍁Sehemu muhimu zaidi ya viungo hivi ni gingerol, ambayo ni antioxidant (kipinga sumu) yenye ufanisi sana wa kupambana na magonjwa ya uchochezi.

REDUCE CANCER EFFECTS/ PUNGUZA NGUVU YA SARATANI

REDUCE CANCER EFFECTS/ PUNGUZA NGUVU YA SARATANI MAFUTA YA MIZEITUNI/ OLIVE OIL SWAHILI VERSION 🌿🌿Mafuta ya mizeituni ni mojawapo ya vitu vya kale sana na vinavyopendwa sana duniani, si tu kwa sababu inasaidia kuleta ladha nzuri ya chakula , lakini

NEWS

NEWS
Kula lishe bora kuepuka hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukizwa.

Chagua afya leo.

EXCLUSIVE BREASTFEEDING

EXCLUSIVE BREASTFEEDING
Make sure your child gets breastfed exclussively for the first six months, the child shouod not be fed anything else not even water. This adds up to the child's immunity and increase chencea of proper development.
""AHSANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU, KARIBU TENA/ THANK YOU FOR VISITING OUR BLOG, YOU ARE WELCOME""