Skip to main content

Posts

Showing posts from June 30, 2019
""Kwa msaaada zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0754031039/0655568468 AfyaLishe Tz kwa ajili yako""

COUNSELLING DESK

COUNSELLING DESK
Tumia huduma yetu ya ushauri, na kujadiliana. Kwa matatizo ya kifamilia, kibiashara, kielimu, kiafya, mahusiano na mfumo mzima wa maisha wasiliana nasi kwa 0754031039 au 0655568468

BAADHI YA VITU VYA KUZINGATIA TUNAVOUKARIBISHA MWEZI MPYA, WIKI MPYA NA SIKU MPYA.

```●Nina furaha kukwaambia kwamba bado hujachelewa kuweka lengo jipya na kuamua kulifanyia kazi katika safari inayoendelea katika maishs yako. ●Zifuatazo ni baadhi ya mifumo ya maisha inayoweza kukufanya ufanikishe malengo yako muhimu katika maisha.``` 1. Ona kushindwa kama mwanzo wa kitu kipya 2. Mshirikishe Mungu kabla ya jambo lolote 3. Andaa nguo nadhifu ya kuvaa kesho kabla hujalala, amka mapema, tandika kitanda chako na  usisahau kujali afya yako. 4. Tafuta amani na yaliyopita kabla hayajakutesa 5. Weka malengo makubwa lakini anza na dogo lililo ndani ya  uwezo wako 6. Usiwekee labda katika vitu bali pima kilakitu 7. Usijifananishe na watu 8. Andika malengo yako 9. Panga mipango ya namna utatimiza malengo yako 10. Tafuta hekima na maarifa juu ya mambo mbali mbali hasa lile unslotazamia kufanya. 11. Fanya kazi yenye manufaa kwako 12. Tumia kidogo zaidi ya unacho ingiza 13. Wekeza katika mawazo yako 14. Kopa kwa manufaa 15. Epuka wapoteza muda 1

NEWS

NEWS
Kula lishe bora kuepuka hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukizwa.

Chagua afya leo.

EXCLUSIVE BREASTFEEDING

EXCLUSIVE BREASTFEEDING
Make sure your child gets breastfed exclussively for the first six months, the child shouod not be fed anything else not even water. This adds up to the child's immunity and increase chencea of proper development.
""AHSANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU, KARIBU TENA/ THANK YOU FOR VISITING OUR BLOG, YOU ARE WELCOME""