Skip to main content
""Kwa msaaada zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0754031039/0655568468 AfyaLishe Tz kwa ajili yako""

COUNSELLING DESK

COUNSELLING DESK
Tumia huduma yetu ya ushauri, na kujadiliana. Kwa matatizo ya kifamilia, kibiashara, kielimu, kiafya, mahusiano na mfumo mzima wa maisha wasiliana nasi kwa 0754031039 au 0655568468

BAADHI YA VITU VYA KUZINGATIA TUNAVOUKARIBISHA MWEZI MPYA, WIKI MPYA NA SIKU MPYA.


```●Nina furaha kukwaambia kwamba bado hujachelewa kuweka lengo jipya na kuamua kulifanyia kazi katika safari inayoendelea katika maishs yako.

●Zifuatazo ni baadhi ya mifumo ya maisha inayoweza kukufanya ufanikishe malengo yako muhimu katika maisha.```

1. Ona kushindwa kama mwanzo wa kitu kipya

2. Mshirikishe Mungu kabla ya jambo lolote

3. Andaa nguo nadhifu ya kuvaa kesho kabla hujalala, amka mapema, tandika kitanda chako na  usisahau kujali afya yako.

4. Tafuta amani na yaliyopita kabla hayajakutesa

5. Weka malengo makubwa lakini anza na dogo lililo ndani ya  uwezo wako

6. Usiwekee labda katika vitu bali pima kilakitu

7. Usijifananishe na watu

8. Andika malengo yako

9. Panga mipango ya namna utatimiza malengo yako

10. Tafuta hekima na maarifa juu ya mambo mbali mbali hasa lile unslotazamia kufanya.

11. Fanya kazi yenye manufaa kwako

12. Tumia kidogo zaidi ya unacho ingiza

13. Wekeza katika mawazo yako

14. Kopa kwa manufaa

15. Epuka wapoteza muda

16. Tunza mahusiano yenye manufaa

17. Kutana na watu wapya waliokuzidi hatua fulani ya kimaendeleo.

18. Ni vizuri kuwafahamu wakosoaji wako na fahamu wanachokosoa na ukifanyie kazi kama kina mantiki.

19. Baki katika muelekeo wako

20. Chukua hatua baada ya kupima manufaa

21. Jifunze kwa unaowatamani

22. Chukua hatua hata kama inaogopesha

23. Tafuta maana yenye kutia moyo katika jambo umalofanya

24. Fanya kitu kimoja kwa wakati.

25. Kifanye taratibu kwa ufanisi na kwa ufasaha.

26. Fanya zaid ya unavyotegemewa

27. Kuwa mtu wa watu na Fundisha watu unachojua

28. Tengeneza tabia ya kuwa wa kushukuru

29. Weka muda wa kuwa karibu na familia yako na kuwasikiliza

30. Usitafute maisha ukasahau kuishi, pumzika na jiburudishe kwa kiasi.


```●Kumbuka mawazo hasi au mawazo ya changamoto unazopitia hayana budi kuja ila ni wewe utakaeamua jinsi yatakavyotengeneza au haribu maisha yako.

●Nashauri kuwa na mtu wa karibu atakae kusaidia kubeba yako ya moyoni na kukutia moyo katika kila jambo, ni muhimu pia kuwa na mtaalamu wa ushauri (counselling specialist).```

Nashukuru kwa kupitia makala hii. Usisahau kusubscribe blog yangu ili uwe wa kwanza kupata mambo mapya kila siku.

By Resta Dietetics and Counselling
0754031039

```Karibu kwenye group letu, ujifunze lishe bora na mambo mengine mengi.```

https://chat.whatsapp.com/BFXj5ZT2p794abU8NAxJ0k


```Bonyeza link hapo juu kujiunga moja kwa moja.```

Comments

NEWS

NEWS
Kula lishe bora kuepuka hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukizwa.

Chagua afya leo.

EXCLUSIVE BREASTFEEDING

EXCLUSIVE BREASTFEEDING
Make sure your child gets breastfed exclussively for the first six months, the child shouod not be fed anything else not even water. This adds up to the child's immunity and increase chencea of proper development.

Popular posts from this blog

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA Tumekua na tamaduni ya kuandaa uji wa lishe ya mtoto bila kufuata kanuni za uandaaji bora. Madhara ya uji usio bora

KANUNI BORA ZA KUMUANZISHIA MTOTO CHAKULA AFIKAPO MIEZI SITA

KANUNI BORA ZA KUMUANZISHIA MTOTO CHAKULA AFIKAPO MIEZI SITA 🏮 Kwanini nianze kumpa mtoto wa miezi 6 chakula kingine? 🍲Mtoto wa miezi sita ameanza kuwa na mahitaji ya virutubishi  kwa wingi zaidi ya anavyopata kutoka kwenye maziwa ya mama.

ONGEZA UWEZO WAKO WA KUMNYONYESHA MTOTO

ONGEZA UWEZO WAKO WA KUMNYONYESHA MTOTO Mtoto anyonye maziwa ya mama tu hadi ayakapotimiza Miezi sita. Utakua umemuepushia magonjwa na hatari zingine nyingi tu. Kama mama hana maziwa ya kutosha mtoto pia anaweza kupewa formula milk ila ni pale tu mama akiwa maefariki au akiwa na tatizo kama hilo la maziwa kuto tosha. Lakini ni muhimu mama kukazana kuhakikisha maziwa yanatosha ili mtoto awe katika hali salama na afya zaidi. Fahamu vitu vifuatavyo vimesaidia wengine 🍵Maziwa ya mama yametengenezwa na vtu vi3 vya muhimu *maji ambayo ndio mengi *Protein and *Fats 🍵 ni muhimu sana kufahamu kwamba  kutoka kwa  Maziwa kunahitaji activity ya hormones/ homoni ziwe stimulated, na kinachostimulate ni mtoto kunyonya au kuvuta chuchu Hivyo mtoto anavovuta au kunyonya chuchu ya mama yake ndivo hormones za kutengeneza  maziwa zinavozalishwa zaidi, hivyo kuleta matokeo chanya katika unyonyeshaji. Mama asikate tamaa kumueka mtoto kwenye chuchu hata kama maziwa hayatoki auni macha
""AHSANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU, KARIBU TENA/ THANK YOU FOR VISITING OUR BLOG, YOU ARE WELCOME""