Skip to main content

Posts

Showing posts from July 15, 2019
""Kwa msaaada zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0754031039/0655568468 AfyaLishe Tz kwa ajili yako""

COUNSELLING DESK

COUNSELLING DESK
Tumia huduma yetu ya ushauri, na kujadiliana. Kwa matatizo ya kifamilia, kibiashara, kielimu, kiafya, mahusiano na mfumo mzima wa maisha wasiliana nasi kwa 0754031039 au 0655568468

SOMO LA 9 NA RESTA ( SIKU 1000 ZA MTOTO)

 `` LISHE YA MAMA MJAMZITO``` Matatizo yanayotokana na upungufu wa Iodini (IDD)  _Goitre_ kuzidi kwa eneo la shingo kutokana na kuathirika kwa tezi ya thairoidi. _Hyothyothyism_ Ngozi kavu, uzito kuongezeka, uso kuvimba. _Hyperthyroidism_ Mapigo ya moyo kwenda haraka na kupoteza uzito kutokana na tezi kuathirika. _Cretinism_ Matatizo ya akili, matatizo katika maendeleo ya kimwili, hali ya Udumavu na ulegevu kwa mama mjamzito kakili na kimwili. Mf. Kusahau sahau, mama anaweza akawaza anataka afanye hiki lakini mwili wake umefanya vingine kabisa. Au hata mtu kua taratibu katika kufanya mambo yake hata kuamua. MAJI NA VYAKULA VYENHE NYUZI HUKAMILISHA LISHE BORA KWA MAMA MJAMZITO I. _Nyuzi nyuzi za vyakula (fibers)_ Fibers (nyuzi) za vyakula ni sehemu ya chakula ambayo haviwezi kuvunjika vyote na pia hua vichochezi vya umengenyaji  (enzymes) katika utumbo mwilini mwa binadamu. _Chakula chenye jamii ya nyuzi (fiber) husaidia kuboresha kazi za utumbo hivyo inaweza

NEWS

NEWS
Kula lishe bora kuepuka hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukizwa.

Chagua afya leo.

EXCLUSIVE BREASTFEEDING

EXCLUSIVE BREASTFEEDING
Make sure your child gets breastfed exclussively for the first six months, the child shouod not be fed anything else not even water. This adds up to the child's immunity and increase chencea of proper development.
""AHSANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU, KARIBU TENA/ THANK YOU FOR VISITING OUR BLOG, YOU ARE WELCOME""