Skip to main content
""Kwa msaaada zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0754031039/0655568468 AfyaLishe Tz kwa ajili yako""

COUNSELLING DESK

COUNSELLING DESK
Tumia huduma yetu ya ushauri, na kujadiliana. Kwa matatizo ya kifamilia, kibiashara, kielimu, kiafya, mahusiano na mfumo mzima wa maisha wasiliana nasi kwa 0754031039 au 0655568468

CONTROL HEADACHE/ DHIBITI MAUMIVU YA KICHWA

DHIBITI MAUMIVU YA KICHWA KWA TANGAWIZI.


SWAHILI

🍁Tangawizi ina viungo vingi vyenye uwezo wa  kupambana na madhara mbali mbali yanayoupata mwili.
🍁Sehemu muhimu zaidi ya viungo hivi ni gingerol, ambayo ni antioxidant (kipinga sumu) yenye ufanisi sana wa kupambana na magonjwa ya uchochezi.

🍁Tangawizi pia inaweza kuchochea na kuzuia kuzalishwa kwa homoni fulani mwilini zinazosababisha ukakamavu wa misuli, na hisia za maumivu "pounding/ kugonga" inayowapata watu wengi wakati wa maumivu ya kichwa.
🍁Hivyo tabia hii ya tangawizi ina uwezo wa kusawazisha matokeo yanayotokana na uzalishaji wa homoni hizo na kusababisha iwe kati ya  chaguo lako bora la kuondoa maumivu ya kichwa kwa haraka.

ENGLISH

CONTROL HEADACHE WITH GINGER.

🍁Ginger has a number of powerful active ingredients that have a bevy of effects on the body; the most notable of these components is gingerol, which is a very effective antioxidant and anti-inflammatory chemical.

🍁Ginger can also stimulate and inhibit the release of certain hormones, and regulate the contraction of muscles, preventing those painful “pounding” sensations that people experience during a headache.

🍁By controlling inflammation, mediating pain, and relaxing the body’s hormonal response to pain, ginger might just be your best option for eliminating headaches fast!

AfyaLishe Tz
Sylvia Senkoro
afyalishetz@gmail.com
0754031039

Comments

NEWS

NEWS
Kula lishe bora kuepuka hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukizwa.

Chagua afya leo.

EXCLUSIVE BREASTFEEDING

EXCLUSIVE BREASTFEEDING
Make sure your child gets breastfed exclussively for the first six months, the child shouod not be fed anything else not even water. This adds up to the child's immunity and increase chencea of proper development.

Popular posts from this blog

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA Tumekua na tamaduni ya kuandaa uji wa lishe ya mtoto bila kufuata kanuni za uandaaji bora. Madhara ya uji usio bora

KANUNI BORA ZA KUMUANZISHIA MTOTO CHAKULA AFIKAPO MIEZI SITA

KANUNI BORA ZA KUMUANZISHIA MTOTO CHAKULA AFIKAPO MIEZI SITA 🏮 Kwanini nianze kumpa mtoto wa miezi 6 chakula kingine? 🍲Mtoto wa miezi sita ameanza kuwa na mahitaji ya virutubishi  kwa wingi zaidi ya anavyopata kutoka kwenye maziwa ya mama.

ONGEZA UWEZO WAKO WA KUMNYONYESHA MTOTO

ONGEZA UWEZO WAKO WA KUMNYONYESHA MTOTO Mtoto anyonye maziwa ya mama tu hadi ayakapotimiza Miezi sita. Utakua umemuepushia magonjwa na hatari zingine nyingi tu. Kama mama hana maziwa ya kutosha mtoto pia anaweza kupewa formula milk ila ni pale tu mama akiwa maefariki au akiwa na tatizo kama hilo la maziwa kuto tosha. Lakini ni muhimu mama kukazana kuhakikisha maziwa yanatosha ili mtoto awe katika hali salama na afya zaidi. Fahamu vitu vifuatavyo vimesaidia wengine 🍵Maziwa ya mama yametengenezwa na vtu vi3 vya muhimu *maji ambayo ndio mengi *Protein and *Fats 🍵 ni muhimu sana kufahamu kwamba  kutoka kwa  Maziwa kunahitaji activity ya hormones/ homoni ziwe stimulated, na kinachostimulate ni mtoto kunyonya au kuvuta chuchu Hivyo mtoto anavovuta au kunyonya chuchu ya mama yake ndivo hormones za kutengeneza  maziwa zinavozalishwa zaidi, hivyo kuleta matokeo chanya katika unyonyeshaji. Mama asikate tamaa kumueka mtoto kwenye chuchu hata kama maziwa hayatoki auni macha
""AHSANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU, KARIBU TENA/ THANK YOU FOR VISITING OUR BLOG, YOU ARE WELCOME""