Skip to main content
""Kwa msaaada zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0754031039/0655568468 AfyaLishe Tz kwa ajili yako""

COUNSELLING DESK

COUNSELLING DESK
Tumia huduma yetu ya ushauri, na kujadiliana. Kwa matatizo ya kifamilia, kibiashara, kielimu, kiafya, mahusiano na mfumo mzima wa maisha wasiliana nasi kwa 0754031039 au 0655568468

INCREASE CHILD'S ABILITY TO LEARN/ ONGEZA UWEZO WA MTOTO KUJIFUNZA


Quick fact  By UNICEF TANZANIA :
Many parents do not know that they can support their children’s learning at home. Everyone, even without special training or materials, can support early learning.


Parents are children’s first teachers. They play an important role in the development of their brain and making them school-ready.
No formal training is required – just love, affection, and the knowledge that every experience a young child has, shapes his or her development and future.

Parents can integrate simple activities such as playing, singing, telling stories, counting and explaining things, in their daily chores to promote early learning. This can help children learn new skills.

Children who enter school ‘ready to learn’ are more likely to succeed, learn effectively and stay in school.

#ForEveryChild, access to quality education
Be a #Changemaker4Children

SWAHILI
Wazazi wengi hawajui kwamba wanaweza kusaidia watoto wao kujifunza nyumbani. Kila mtu, hata bila mafunzo maalum au vifaa, anaweza kumsaidia mtoto kujifunza mapema.

Wazazi ni walimu wa kwanza kwa watoto wao. Hii ni muhimu katika maendeleo ya ubongo wao na kuwafanya wawe tayari kwa ajili ya shule.

Hakuna mafunzo rasmi yanayohitajika - upendo, ukaribu , na ujuzi kwamba kila uzoefu kwa mtoto mdogo, huunda maendeleo yake ya baadaye.

Wazazi wanaweza kuunganisha shughuli rahisi kama vile kucheza, kuimba, simulizi za hadithi, kuhesabu na kuelezea mambo, katika kazi zao za kila siku ili kuhimiza mafunzo ya awali. Hii inaweza kuwasaidia watoto kujifunza ujuzi mpya.

Watoto wanaoingia shuleni wakiwa 'tayari kujifunza' wana uwezekano mkubwa wa kufanikiwa, kujifunza kwa ufanisi na kudumu shuleni.

AfyaLishe Tz
Sylvia Senkoro
afyalishetz.blogspot.com
0754031039
afyalishetz@gmail.com

Comments

NEWS

NEWS
Kula lishe bora kuepuka hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukizwa.

Chagua afya leo.

EXCLUSIVE BREASTFEEDING

EXCLUSIVE BREASTFEEDING
Make sure your child gets breastfed exclussively for the first six months, the child shouod not be fed anything else not even water. This adds up to the child's immunity and increase chencea of proper development.

Popular posts from this blog

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA Tumekua na tamaduni ya kuandaa uji wa lishe ya mtoto bila kufuata kanuni za uandaaji bora. Madhara ya uji usio bora

KANUNI BORA ZA KUMUANZISHIA MTOTO CHAKULA AFIKAPO MIEZI SITA

KANUNI BORA ZA KUMUANZISHIA MTOTO CHAKULA AFIKAPO MIEZI SITA 🏮 Kwanini nianze kumpa mtoto wa miezi 6 chakula kingine? 🍲Mtoto wa miezi sita ameanza kuwa na mahitaji ya virutubishi  kwa wingi zaidi ya anavyopata kutoka kwenye maziwa ya mama.

ONGEZA UWEZO WAKO WA KUMNYONYESHA MTOTO

ONGEZA UWEZO WAKO WA KUMNYONYESHA MTOTO Mtoto anyonye maziwa ya mama tu hadi ayakapotimiza Miezi sita. Utakua umemuepushia magonjwa na hatari zingine nyingi tu. Kama mama hana maziwa ya kutosha mtoto pia anaweza kupewa formula milk ila ni pale tu mama akiwa maefariki au akiwa na tatizo kama hilo la maziwa kuto tosha. Lakini ni muhimu mama kukazana kuhakikisha maziwa yanatosha ili mtoto awe katika hali salama na afya zaidi. Fahamu vitu vifuatavyo vimesaidia wengine 🍵Maziwa ya mama yametengenezwa na vtu vi3 vya muhimu *maji ambayo ndio mengi *Protein and *Fats 🍵 ni muhimu sana kufahamu kwamba  kutoka kwa  Maziwa kunahitaji activity ya hormones/ homoni ziwe stimulated, na kinachostimulate ni mtoto kunyonya au kuvuta chuchu Hivyo mtoto anavovuta au kunyonya chuchu ya mama yake ndivo hormones za kutengeneza  maziwa zinavozalishwa zaidi, hivyo kuleta matokeo chanya katika unyonyeshaji. Mama asikate tamaa kumueka mtoto kwenye chuchu hata kama maziwa hayatoki auni macha
""AHSANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU, KARIBU TENA/ THANK YOU FOR VISITING OUR BLOG, YOU ARE WELCOME""