Skip to main content
""Kwa msaaada zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0754031039/0655568468 AfyaLishe Tz kwa ajili yako""

COUNSELLING DESK

COUNSELLING DESK
Tumia huduma yetu ya ushauri, na kujadiliana. Kwa matatizo ya kifamilia, kibiashara, kielimu, kiafya, mahusiano na mfumo mzima wa maisha wasiliana nasi kwa 0754031039 au 0655568468

INCREASE CHILD'S ABILITY TO LEARN/ ONGEZA UWEZO WA MTOTO KUJIFUNZA


Quick fact  By UNICEF TANZANIA :
Many parents do not know that they can support their children’s learning at home. Everyone, even without special training or materials, can support early learning.


Parents are children’s first teachers. They play an important role in the development of their brain and making them school-ready.
No formal training is required – just love, affection, and the knowledge that every experience a young child has, shapes his or her development and future.

Parents can integrate simple activities such as playing, singing, telling stories, counting and explaining things, in their daily chores to promote early learning. This can help children learn new skills.

Children who enter school ‘ready to learn’ are more likely to succeed, learn effectively and stay in school.

#ForEveryChild, access to quality education
Be a #Changemaker4Children

SWAHILI
Wazazi wengi hawajui kwamba wanaweza kusaidia watoto wao kujifunza nyumbani. Kila mtu, hata bila mafunzo maalum au vifaa, anaweza kumsaidia mtoto kujifunza mapema.

Wazazi ni walimu wa kwanza kwa watoto wao. Hii ni muhimu katika maendeleo ya ubongo wao na kuwafanya wawe tayari kwa ajili ya shule.

Hakuna mafunzo rasmi yanayohitajika - upendo, ukaribu , na ujuzi kwamba kila uzoefu kwa mtoto mdogo, huunda maendeleo yake ya baadaye.

Wazazi wanaweza kuunganisha shughuli rahisi kama vile kucheza, kuimba, simulizi za hadithi, kuhesabu na kuelezea mambo, katika kazi zao za kila siku ili kuhimiza mafunzo ya awali. Hii inaweza kuwasaidia watoto kujifunza ujuzi mpya.

Watoto wanaoingia shuleni wakiwa 'tayari kujifunza' wana uwezekano mkubwa wa kufanikiwa, kujifunza kwa ufanisi na kudumu shuleni.

AfyaLishe Tz
Sylvia Senkoro
afyalishetz.blogspot.com
0754031039
afyalishetz@gmail.com

Comments

NEWS

NEWS
Kula lishe bora kuepuka hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukizwa.

Chagua afya leo.

EXCLUSIVE BREASTFEEDING

EXCLUSIVE BREASTFEEDING
Make sure your child gets breastfed exclussively for the first six months, the child shouod not be fed anything else not even water. This adds up to the child's immunity and increase chencea of proper development.

Popular posts from this blog

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA Tumekua na tamaduni ya kuandaa uji wa lishe ya mtoto bila kufuata kanuni za uandaaji bora. Madhara ya uji usio bora

UANDAAJI MAZIWA YA SOYA UKIWA NYUMBANI

Maziwa ya Soya Aina hii ni maarufu pia, na kwa kuwa yanatokana na mimea, maziwa haya hana cholesterol ( lehemu) - tofauti na maziwa ya kawaida. Maziwa ya Soya pia yana kiwango cha chini cha kalori kuliko maziwa ya ng'ombe, yana kalori takribani 130 kwa kila kikombe. Hakuna lactose  katika maziwa haya, aina ya protini inayoleta sana gesi tumboni, hivyo huyafanya kuwa mbadala muhimu kwa watu ambao wanakabiliwa na ugonjwa wa kushindwa kuvumilia lactose (lactose intolerance) katika mfumo wao wa umeng'enyaji, pamoja na watu wasiotumia bidhaa zitokanazo na wanyama pia (vegeterians) sababu haitoki kwa wanyama.  Soya ni mboga nzuri sana, na maziwa yanayotokana na jamii hii yana utajiri wa potasiamu, protini na kalsiamu ikiwa mtengenezaji atayaimarisha na madini. Pia ni chanzo kikubwa cha vitamini A na vitamini B12, ambayo haipo katika aina nyingine za maziwa. Maziwa ya Soya hutoa kiwango cha juu cha protini, pia ni bora kwa watu ambao wanajaribu kudhibiti uzito wao au kupu...

MORINGA BENEFITS/ FAIDA ZA MLONGE

MLONGE Inaweza kutumika kwa ajili ya upishi na dawa. Mbegu hizi ni chakula ila  zinapaswa kutafunwa, badala ya kuzimeza nzima nzima, pia ni muhimiu zikapikwa au kukaushwa kabla ya kuliwa, badala ya kula mbichi. UMUHIMU KATIKA LISHE Mbegu za Moringa ni chanzo kikubwa cha Madini chuma, Potasiamu, Vitamini A, Vitamini C, Calcium, Amino asidi, na Nyuzi za chakula/Fibers. FAIDA ZAKE KIUNDANI -Huongeza mfumo wa kinga ya mwili. -Hupunguza shinikizo la damu. -Kurahisisha upatikanaji wa usingizi, na -Kuongeza afya ya ngozi, nywele na mifupa. MAELEZO KWA KINA. Huongeza mfumo wa kinga ya mwili. Uchunguzi umegundua kwamba mbegu hizi zina tabia za kinga dhidi ya vimelea na virusi, kutokana na mkusanyiko wao mkubwa wa vitamini C, pamoja na viuasumu mbalimbali ambavyo kiujumla vinaimarisha kinga ya mwili. Kupungua uzito kwa sababu ya kiwango kikubwa cha nyuzi chakula/ Fiber, hizi zitasaidia kushibisha, na hivyo kupunguza tamaa ya kula isiyo rasmi. Msaada wa Kulala. R...
""AHSANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU, KARIBU TENA/ THANK YOU FOR VISITING OUR BLOG, YOU ARE WELCOME""