Skip to main content
""Kwa msaaada zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0754031039/0655568468 AfyaLishe Tz kwa ajili yako""

COUNSELLING DESK

COUNSELLING DESK
Tumia huduma yetu ya ushauri, na kujadiliana. Kwa matatizo ya kifamilia, kibiashara, kielimu, kiafya, mahusiano na mfumo mzima wa maisha wasiliana nasi kwa 0754031039 au 0655568468

FOOD AND ITS IMPORTANCE/ CHAKULA NA FAIDA ZAKE

What to expect from food












Food  is a natural or manufactured product, solid or liquid, that contains one or more of the nutrients that the human organism requires for the development of vital functions.

What to expect from food?

Giving energy for an organism to function, carbohydrates from plants origin gives more energy and in animal origin from proteins and fats.

Giving nutrients that the body needs. It should be noted that one has to consume varieties of foods to make sure they have all the required nutrients. It is possible for a particular food to have more than one nutrients but not all.

They can prevent or cure disorders and diseases, mostly foods from plants origin has this power than from animal origin which might posses this ability in specific cases.

Enjoy while taking your meals.

SWAHILI
Chakula ni bidhaa za asili au viwandani, yabisi au kimiminika, ambazo zina virutubisho vya aina moja au zaidi, ambavyo mwili wa binadamu unahitaji kwa ajili ya maendeleo yake na kazi mbalimbali za muhimu.


Nini cha kutarajia kutoka kwenye chakula

Nishati kwa ajili ya kuupa mwili nguvu za kufanya kazi, wanga huzalishwa kutoka kwenye vyakula vya asili ya mimea, hutoa nishati zaidi na vyakula vya asili ya wanyama hutoka kwenye vyakula vinavyozalisha protini na mafuta.


Virutubisho ambavyo mwili unahitaji. Ikumbukwe kwamba mtu anatumia aina mbalimbali za vyakula ili kuhakikisha anapata virutubisho vyote vinavyotakiwa. Inawezekana kwa chakula fulani kuwa na virutubisho zaidi ya kimoja lakini sio vyote.

Uwezo wa kuzuia au kutibu magonjwa, hasa vyakula vitokanavyo na mimea huwa na nguvu hii kuliko vyakula vitokanavyo na wanyama, ambao wanaweza kuwa na uwezo huu katika kesi chache maalum.


Furahia mlo wa kila siku.


afyalishetz.blogspot.com

Sylvia Senkoro

AfyaLishe Tz Director

0754031039/ 0655568468

sylsenkoro@gmail.com


Comments

NEWS

NEWS
Kula lishe bora kuepuka hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukizwa.

Chagua afya leo.

EXCLUSIVE BREASTFEEDING

EXCLUSIVE BREASTFEEDING
Make sure your child gets breastfed exclussively for the first six months, the child shouod not be fed anything else not even water. This adds up to the child's immunity and increase chencea of proper development.

Popular posts from this blog

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA Tumekua na tamaduni ya kuandaa uji wa lishe ya mtoto bila kufuata kanuni za uandaaji bora. Madhara ya uji usio bora

KANUNI BORA ZA KUMUANZISHIA MTOTO CHAKULA AFIKAPO MIEZI SITA

KANUNI BORA ZA KUMUANZISHIA MTOTO CHAKULA AFIKAPO MIEZI SITA 🏮 Kwanini nianze kumpa mtoto wa miezi 6 chakula kingine? 🍲Mtoto wa miezi sita ameanza kuwa na mahitaji ya virutubishi  kwa wingi zaidi ya anavyopata kutoka kwenye maziwa ya mama.

ONGEZA UWEZO WAKO WA KUMNYONYESHA MTOTO

ONGEZA UWEZO WAKO WA KUMNYONYESHA MTOTO Mtoto anyonye maziwa ya mama tu hadi ayakapotimiza Miezi sita. Utakua umemuepushia magonjwa na hatari zingine nyingi tu. Kama mama hana maziwa ya kutosha mtoto pia anaweza kupewa formula milk ila ni pale tu mama akiwa maefariki au akiwa na tatizo kama hilo la maziwa kuto tosha. Lakini ni muhimu mama kukazana kuhakikisha maziwa yanatosha ili mtoto awe katika hali salama na afya zaidi. Fahamu vitu vifuatavyo vimesaidia wengine 🍵Maziwa ya mama yametengenezwa na vtu vi3 vya muhimu *maji ambayo ndio mengi *Protein and *Fats 🍵 ni muhimu sana kufahamu kwamba  kutoka kwa  Maziwa kunahitaji activity ya hormones/ homoni ziwe stimulated, na kinachostimulate ni mtoto kunyonya au kuvuta chuchu Hivyo mtoto anavovuta au kunyonya chuchu ya mama yake ndivo hormones za kutengeneza  maziwa zinavozalishwa zaidi, hivyo kuleta matokeo chanya katika unyonyeshaji. Mama asikate tamaa kumueka mtoto kwenye chuchu hata kama maziwa hayatoki auni macha
""AHSANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU, KARIBU TENA/ THANK YOU FOR VISITING OUR BLOG, YOU ARE WELCOME""