Skip to main content
""Kwa msaaada zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0754031039/0655568468 AfyaLishe Tz kwa ajili yako""

COUNSELLING DESK

COUNSELLING DESK
Tumia huduma yetu ya ushauri, na kujadiliana. Kwa matatizo ya kifamilia, kibiashara, kielimu, kiafya, mahusiano na mfumo mzima wa maisha wasiliana nasi kwa 0754031039 au 0655568468

FOOD AND ITS IMPORTANCE/ CHAKULA NA FAIDA ZAKE

What to expect from food












Food  is a natural or manufactured product, solid or liquid, that contains one or more of the nutrients that the human organism requires for the development of vital functions.

What to expect from food?

Giving energy for an organism to function, carbohydrates from plants origin gives more energy and in animal origin from proteins and fats.

Giving nutrients that the body needs. It should be noted that one has to consume varieties of foods to make sure they have all the required nutrients. It is possible for a particular food to have more than one nutrients but not all.

They can prevent or cure disorders and diseases, mostly foods from plants origin has this power than from animal origin which might posses this ability in specific cases.

Enjoy while taking your meals.

SWAHILI
Chakula ni bidhaa za asili au viwandani, yabisi au kimiminika, ambazo zina virutubisho vya aina moja au zaidi, ambavyo mwili wa binadamu unahitaji kwa ajili ya maendeleo yake na kazi mbalimbali za muhimu.


Nini cha kutarajia kutoka kwenye chakula

Nishati kwa ajili ya kuupa mwili nguvu za kufanya kazi, wanga huzalishwa kutoka kwenye vyakula vya asili ya mimea, hutoa nishati zaidi na vyakula vya asili ya wanyama hutoka kwenye vyakula vinavyozalisha protini na mafuta.


Virutubisho ambavyo mwili unahitaji. Ikumbukwe kwamba mtu anatumia aina mbalimbali za vyakula ili kuhakikisha anapata virutubisho vyote vinavyotakiwa. Inawezekana kwa chakula fulani kuwa na virutubisho zaidi ya kimoja lakini sio vyote.

Uwezo wa kuzuia au kutibu magonjwa, hasa vyakula vitokanavyo na mimea huwa na nguvu hii kuliko vyakula vitokanavyo na wanyama, ambao wanaweza kuwa na uwezo huu katika kesi chache maalum.


Furahia mlo wa kila siku.


afyalishetz.blogspot.com

Sylvia Senkoro

AfyaLishe Tz Director

0754031039/ 0655568468

sylsenkoro@gmail.com


Comments

NEWS

NEWS
Kula lishe bora kuepuka hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukizwa.

Chagua afya leo.

EXCLUSIVE BREASTFEEDING

EXCLUSIVE BREASTFEEDING
Make sure your child gets breastfed exclussively for the first six months, the child shouod not be fed anything else not even water. This adds up to the child's immunity and increase chencea of proper development.

Popular posts from this blog

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA Tumekua na tamaduni ya kuandaa uji wa lishe ya mtoto bila kufuata kanuni za uandaaji bora. Madhara ya uji usio bora

UANDAAJI MAZIWA YA SOYA UKIWA NYUMBANI

Maziwa ya Soya Aina hii ni maarufu pia, na kwa kuwa yanatokana na mimea, maziwa haya hana cholesterol ( lehemu) - tofauti na maziwa ya kawaida. Maziwa ya Soya pia yana kiwango cha chini cha kalori kuliko maziwa ya ng'ombe, yana kalori takribani 130 kwa kila kikombe. Hakuna lactose  katika maziwa haya, aina ya protini inayoleta sana gesi tumboni, hivyo huyafanya kuwa mbadala muhimu kwa watu ambao wanakabiliwa na ugonjwa wa kushindwa kuvumilia lactose (lactose intolerance) katika mfumo wao wa umeng'enyaji, pamoja na watu wasiotumia bidhaa zitokanazo na wanyama pia (vegeterians) sababu haitoki kwa wanyama.  Soya ni mboga nzuri sana, na maziwa yanayotokana na jamii hii yana utajiri wa potasiamu, protini na kalsiamu ikiwa mtengenezaji atayaimarisha na madini. Pia ni chanzo kikubwa cha vitamini A na vitamini B12, ambayo haipo katika aina nyingine za maziwa. Maziwa ya Soya hutoa kiwango cha juu cha protini, pia ni bora kwa watu ambao wanajaribu kudhibiti uzito wao au kupu...

MORINGA BENEFITS/ FAIDA ZA MLONGE

MLONGE Inaweza kutumika kwa ajili ya upishi na dawa. Mbegu hizi ni chakula ila  zinapaswa kutafunwa, badala ya kuzimeza nzima nzima, pia ni muhimiu zikapikwa au kukaushwa kabla ya kuliwa, badala ya kula mbichi. UMUHIMU KATIKA LISHE Mbegu za Moringa ni chanzo kikubwa cha Madini chuma, Potasiamu, Vitamini A, Vitamini C, Calcium, Amino asidi, na Nyuzi za chakula/Fibers. FAIDA ZAKE KIUNDANI -Huongeza mfumo wa kinga ya mwili. -Hupunguza shinikizo la damu. -Kurahisisha upatikanaji wa usingizi, na -Kuongeza afya ya ngozi, nywele na mifupa. MAELEZO KWA KINA. Huongeza mfumo wa kinga ya mwili. Uchunguzi umegundua kwamba mbegu hizi zina tabia za kinga dhidi ya vimelea na virusi, kutokana na mkusanyiko wao mkubwa wa vitamini C, pamoja na viuasumu mbalimbali ambavyo kiujumla vinaimarisha kinga ya mwili. Kupungua uzito kwa sababu ya kiwango kikubwa cha nyuzi chakula/ Fiber, hizi zitasaidia kushibisha, na hivyo kupunguza tamaa ya kula isiyo rasmi. Msaada wa Kulala. R...
""AHSANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU, KARIBU TENA/ THANK YOU FOR VISITING OUR BLOG, YOU ARE WELCOME""