Skip to main content
""Kwa msaaada zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0754031039/0655568468 AfyaLishe Tz kwa ajili yako""

COUNSELLING DESK

COUNSELLING DESK
Tumia huduma yetu ya ushauri, na kujadiliana. Kwa matatizo ya kifamilia, kibiashara, kielimu, kiafya, mahusiano na mfumo mzima wa maisha wasiliana nasi kwa 0754031039 au 0655568468

FAIDA ZA NYUKI


UFUGAJI WA NYUKI KWENYE MIZINGA
🐝🐝🐝🐝🐝🐝🐝
Nyuki ni chanzo cha uzalishaji wa asali



🐝Ufugaji nyuki (au *apiculture*,  jina limetokana na neno la Kilatini apis= nyuki)

 πŸApiculture ni ufugaji wa nyuki wa asali unaohusisha utengenezaji wa mizinga ya nyuki, mara nyingi ikiwa ni pamoja na kuwazalisha nyuki kwa makundi toafauti tofauti.


🐝 Mfugaji wa nyuki (au apiarist) hufuga nyuki ili kukusanya asali na bidhaa nyingine zitikanazo na ufugaji wa nyuki.

 πŸEneo ambapo nyuki wanahifadhiwa au kufugwa huitwa "apiary"


🐝Asali hutumika kama chakula pia inajulikana kuwa na thamani ya dawa. Inajulikana kuwa muhimu sana katika matibabu ya matatizo mbalimbali ya wanadamu kuhusiana na mmeng'enyo wa chakula yaani  digestion, ugonjwa wa kuhara kutapika, magonjwa ya  tumbo na ugonjwa wa ini.

🐝 Utafiti wa kisasa unaonyesha kwamba asali:

🐝Inazuia ukuaji wa bakteria ya mdomo Inatengeneza layer mdomoni na  kwenye koo na hupunguza vidonda kooni. Pia asali hutumiwa katika matibabu ya vidonda  vya tumbo au peptic. Asali Inafaa katika matibabu ya majeraha na maambukizi mbalimbali kwa sababu ya uwezo wake  wa kuwa  antimicrobial (antibacterial, antiviral and antifungal).

🐝Pia Asali  inatumika kama antioxidant. Hii ina maana kwamba inaruhusu damu kuenea vizuri na kutoa oksijeni zaidi kwenye maeneo ya mwili kama vile ubongo.
🐝Inaweza pia kutumika nje ya mwili kwenye ngozi ili kukuza uponyaji inapotumika kwenye majeraha, hata majeraha ya baada ya operation ndogo.
Inatumika  pia mahali penye majeraha ya moto.


🐝Asali Ina aina ya sukari na madini na imeonyeshwa kuwa na kiwango kidogo cha kalori na inafaa kama sweetener kwa watu wanaoishi na ugonjwa wa kisukari, watu walio na ugonjwa wa moyo au wale ambao ni overweight.



🐝Ufugaji wa nyuki pia husaidia katika matumizi mengine ya kilimo kama Uchavushaji wa maua ya mimea, kwani pollens huhamishwa kutoka maua ya sehemu moja hadi nyingine na nyuki wakati wanapokusanya nectari.

UFUGAJI WA NYUKI HUSAIDIA KUTUNZA MAZINGIRA TUFUGE NYUKI WA ASALI KWA WINGI.
BILA NYUKI HATUPATI CHAKULA CHA KUTOSHA YAANI HATUTAPATA ASALI PIA BILA NYUKI HATUTAPATA MAZAO YA KUTOSHA KUTOKANA NA KUPUNGUA KWA UCHAVUSHAJI WA MIMEA.

*Jiunge nasi.....*

*Itaendelea*


Dr Riziki Ngogo (Vet)
*AfyaMIFUGO Tz*
afyamifugo.blogspot.com
0763222500 whatsap
0652515242
afyamifugo@gmail.com
Veterinary services and animal care: facebook
afya_mifugo_tz  : instagram

Comments

NEWS

NEWS
Kula lishe bora kuepuka hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukizwa.

Chagua afya leo.

EXCLUSIVE BREASTFEEDING

EXCLUSIVE BREASTFEEDING
Make sure your child gets breastfed exclussively for the first six months, the child shouod not be fed anything else not even water. This adds up to the child's immunity and increase chencea of proper development.

Popular posts from this blog

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA Tumekua na tamaduni ya kuandaa uji wa lishe ya mtoto bila kufuata kanuni za uandaaji bora. Madhara ya uji usio bora

UANDAAJI MAZIWA YA SOYA UKIWA NYUMBANI

Maziwa ya Soya Aina hii ni maarufu pia, na kwa kuwa yanatokana na mimea, maziwa haya hana cholesterol ( lehemu) - tofauti na maziwa ya kawaida. Maziwa ya Soya pia yana kiwango cha chini cha kalori kuliko maziwa ya ng'ombe, yana kalori takribani 130 kwa kila kikombe. Hakuna lactose  katika maziwa haya, aina ya protini inayoleta sana gesi tumboni, hivyo huyafanya kuwa mbadala muhimu kwa watu ambao wanakabiliwa na ugonjwa wa kushindwa kuvumilia lactose (lactose intolerance) katika mfumo wao wa umeng'enyaji, pamoja na watu wasiotumia bidhaa zitokanazo na wanyama pia (vegeterians) sababu haitoki kwa wanyama.  Soya ni mboga nzuri sana, na maziwa yanayotokana na jamii hii yana utajiri wa potasiamu, protini na kalsiamu ikiwa mtengenezaji atayaimarisha na madini. Pia ni chanzo kikubwa cha vitamini A na vitamini B12, ambayo haipo katika aina nyingine za maziwa. Maziwa ya Soya hutoa kiwango cha juu cha protini, pia ni bora kwa watu ambao wanajaribu kudhibiti uzito wao au kupu...

MORINGA BENEFITS/ FAIDA ZA MLONGE

MLONGE Inaweza kutumika kwa ajili ya upishi na dawa. Mbegu hizi ni chakula ila  zinapaswa kutafunwa, badala ya kuzimeza nzima nzima, pia ni muhimiu zikapikwa au kukaushwa kabla ya kuliwa, badala ya kula mbichi. UMUHIMU KATIKA LISHE Mbegu za Moringa ni chanzo kikubwa cha Madini chuma, Potasiamu, Vitamini A, Vitamini C, Calcium, Amino asidi, na Nyuzi za chakula/Fibers. FAIDA ZAKE KIUNDANI -Huongeza mfumo wa kinga ya mwili. -Hupunguza shinikizo la damu. -Kurahisisha upatikanaji wa usingizi, na -Kuongeza afya ya ngozi, nywele na mifupa. MAELEZO KWA KINA. Huongeza mfumo wa kinga ya mwili. Uchunguzi umegundua kwamba mbegu hizi zina tabia za kinga dhidi ya vimelea na virusi, kutokana na mkusanyiko wao mkubwa wa vitamini C, pamoja na viuasumu mbalimbali ambavyo kiujumla vinaimarisha kinga ya mwili. Kupungua uzito kwa sababu ya kiwango kikubwa cha nyuzi chakula/ Fiber, hizi zitasaidia kushibisha, na hivyo kupunguza tamaa ya kula isiyo rasmi. Msaada wa Kulala. R...
""AHSANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU, KARIBU TENA/ THANK YOU FOR VISITING OUR BLOG, YOU ARE WELCOME""