Skip to main content

Posts

""Kwa msaaada zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0754031039/0655568468 AfyaLishe Tz kwa ajili yako""

COUNSELLING DESK

COUNSELLING DESK
Tumia huduma yetu ya ushauri, na kujadiliana. Kwa matatizo ya kifamilia, kibiashara, kielimu, kiafya, mahusiano na mfumo mzima wa maisha wasiliana nasi kwa 0754031039 au 0655568468

FAHAMU CHAKULA BORA KWA MTOTO ANAEPATA KIDOGO AU ASIEPATA KABISA MAZIWA YA MAMA.

FAHAMU CHAKULA BORA KWA MTOTO ANAEPATA KIDOGO AU  ASIEPATA KABISA MAZIWA YA MAMA. (Umri 0- miezi 6) 🏮 Mtoto anapozaliwa hutakiwa kupata maziwa ya mama ndani ya lisaa tu baada ya kuzaliwa, lakini

REDUCE CANCER EFFECTS/ PUNGUZA NGUVU YA SARATANI

REDUCE CANCER EFFECTS/ PUNGUZA NGUVU YA SARATANI MAFUTA YA MIZEITUNI/ OLIVE OIL SWAHILI VERSION 🌿🌿Mafuta ya mizeituni ni mojawapo ya vitu vya kale sana na vinavyopendwa sana duniani, si tu kwa sababu inasaidia kuleta ladha nzuri ya chakula , lakini

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA

UANDAAJI WA LISHE YA UJI UNAOTAKIWA KWA MTOTO MIEZI SITA NA KUENDELEA Tumekua na tamaduni ya kuandaa uji wa lishe ya mtoto bila kufuata kanuni za uandaaji bora. Madhara ya uji usio bora

UANDAAJI SAHIHI WA MAZIWA YA NG'OMBE KWA MTOTO MIEZI 6 HADI MWAKA.

UANDAAJI SAHIHI WA MAZIWA YA NG'OMBE KWA MTOTO MIEZI 6 HADI MWAKA. 🏮Mfumo wa kumeng'enya chakula kwa mtoto wa miezi 6 hadi mwaka bado haupo na uwezo wa kumengenya virutubisho vilivyopo kwenye maziwa ya ng'ombe

KANUNI BORA ZA KUMUANZISHIA MTOTO CHAKULA AFIKAPO MIEZI SITA

KANUNI BORA ZA KUMUANZISHIA MTOTO CHAKULA AFIKAPO MIEZI SITA 🏮 Kwanini nianze kumpa mtoto wa miezi 6 chakula kingine? 🍲Mtoto wa miezi sita ameanza kuwa na mahitaji ya virutubishi  kwa wingi zaidi ya anavyopata kutoka kwenye maziwa ya mama.

NEWS

NEWS
Kula lishe bora kuepuka hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukizwa.

Chagua afya leo.

EXCLUSIVE BREASTFEEDING

EXCLUSIVE BREASTFEEDING
Make sure your child gets breastfed exclussively for the first six months, the child shouod not be fed anything else not even water. This adds up to the child's immunity and increase chencea of proper development.
""AHSANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU, KARIBU TENA/ THANK YOU FOR VISITING OUR BLOG, YOU ARE WELCOME""