Skip to main content

Posts

""Kwa msaaada zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0754031039/0655568468 AfyaLishe Tz kwa ajili yako""

NEW POST

SOMO LA 9 NA RESTA ( SIKU 1000 ZA MTOTO)

COUNSELLING DESK

COUNSELLING DESK
Tumia huduma yetu ya ushauri, na kujadiliana. Kwa matatizo ya kifamilia, kibiashara, kielimu, kiafya, mahusiano na mfumo mzima wa maisha wasiliana nasi kwa 0754031039 au 0655568468
Recent posts

SAYANSI NYUMA YA DETOX NA KUPUNGUZA UNENE, UZITO AU VITAMBI

MAKALA YA 102 http://afyalishetz.blogspot.com/2019/07/sayansi-nyuma-ya-detox-na-kupunguza.html N:B Asilimia 60  ya uzito ulionao ni maji, hivyo kadri unavyopoteza maji ndivyo unapoteza uzito. Mf: Mtu mwenye kilo kg100 akifanikiwa kupoteza lita 10 za maji mwilini mwake, atakua amefanikiwa kupunguza kilo kg14 za uzito wake. Katika dunia ya leo kila mtu anahitaji kuwa na mwili unaovutia na kupendeza. Kwa bahati mbaya wengi tunatamani hili bila ya kulifanyia kazi. Kutokana na tamaa hii tuliyonayo basi tumeibua ushawishi kwa wajasiriamali wengi kuanza biashara ya uuzaji wa detox tea (chai za kusafisha na kupunguza mwili) Nimeandika ili kwa wale tusio fahamu tujifunze kitu. ```Tuanzie hapa Nini maana ya detox? Kwa lugha ya wenzetu Toxin ni sumu, hivyo Detox ni kitendo cha kuiondoa hiyo sumu. Sasa kwa vile hapa naongelea zaidi mwili, naweza nikasema Detox ni kuondoa sumu mwilini. Vinywaji vya Detox huwa na *Antioxidants*, kwa lugha rahisi tunaweza kusema ni *Viua sumu

FAIDA ZA MBEGU ZA CHIA

●Virutubisho vingi, protini, wanga, mafuta,  madini na vitamini ●Hupunguza makali ya matatizo ya moyo ●Hupunguza makali ya kisukari ●Ina viua sumu ●Nzur kwa ajili ya mifupa ●Husaidia kupunguza uzito ●Hulainisha choo kigumu ●Huupa mwili nguvu ●Husaidia kuimarisha meno *MATUMIZI* ●Nyunzizia kwenye chakula chako au kinywaji chako KWA MAHITAJI YA MBEGU ZA CHIA WASILIANA NASI 0754031039 By Resta Dietetics & Counselling 0754031039

MAFUNZO YA SIKU 1000 ZA MTOTO ( AFYA NA LISHE YA MAMA NA MTOTO)

* Ratiba ya mafunzo ya siku 1000 za mtoto, afya ya mama na mtoto kuanzia ujauzito hadi mtoto atimizapo miaka miwili.* ```Kabla ya lolote tutaanza kwa kupima tunaelewa nini kuhusu siku 1000 za mtoto.``` 1. Maana na umuhimu wa siku 1000 kwa mtoto 2. Maandalizi bora ya siku 1000 za mtoto 3. Faida ylza kuzingatia lishe bora kabla ya ujauzito 4. Kipindi cha ujauzito ▪trimester 1 ▪trimester 2 ▪trimester 3 ▪Ongezeko la uzito 5. Mlo kamili kwa wajawazito 6. Matatizo yanayohusiana na lishe kipindi vha ujauzito na jinsi ya kuepukana nayo 7. Baada ya ujauzito na kipindi cha kujifungua 8. Lishe bora ya mama baada ya kujifungua 9. Afya ya mtoto na maziwa ya mama miezi 0-6 10. Kumuanzishia mtoto chakula baada ya miezi 6 11. Ratiba na viwango vya chakula kwa mtoto miezi 6 hadi 24 12. Uzito sahihi wa mtoto kulingana na umri. 13. Maandalizi ya vyakula mbali mbalibali vya watoto 14. Matatizo yanayohusiana na lishe kwa watoto na jinsi ya kuepuka 15 . Maswali na

BAADHI YA VITU VYA KUZINGATIA TUNAVOUKARIBISHA MWEZI MPYA, WIKI MPYA NA SIKU MPYA.

```●Nina furaha kukwaambia kwamba bado hujachelewa kuweka lengo jipya na kuamua kulifanyia kazi katika safari inayoendelea katika maishs yako. ●Zifuatazo ni baadhi ya mifumo ya maisha inayoweza kukufanya ufanikishe malengo yako muhimu katika maisha.``` 1. Ona kushindwa kama mwanzo wa kitu kipya 2. Mshirikishe Mungu kabla ya jambo lolote 3. Andaa nguo nadhifu ya kuvaa kesho kabla hujalala, amka mapema, tandika kitanda chako na  usisahau kujali afya yako. 4. Tafuta amani na yaliyopita kabla hayajakutesa 5. Weka malengo makubwa lakini anza na dogo lililo ndani ya  uwezo wako 6. Usiwekee labda katika vitu bali pima kilakitu 7. Usijifananishe na watu 8. Andika malengo yako 9. Panga mipango ya namna utatimiza malengo yako 10. Tafuta hekima na maarifa juu ya mambo mbali mbali hasa lile unslotazamia kufanya. 11. Fanya kazi yenye manufaa kwako 12. Tumia kidogo zaidi ya unacho ingiza 13. Wekeza katika mawazo yako 14. Kopa kwa manufaa 15. Epuka wapoteza muda 1

DODOSO LA KUMPOKEA MSAIDIZI WA KAZI ZA NYUMBANI

1. Majina kamili 2. Umri 3. Historia ya familia 4. Historia ya elimu 5. Historia ya Afya 6. Historia ya kazi na kwanini aliacha. 7. Ratiba yake ya siku 8. Kazi anazoweza kufanya 9. Kazi asizoweza kufanya na kwanini. 10. Aina ya vyakula asivyoweza kula na kwanini 11. Tambua Dini yake na imani zake. * Zingatia * ●Baada ya kumdodosa dada, andika majibu yake na utumie hayo kumpangia majukumu yake na kanuni za kazi hapo kwako. ●Ni muhimu dada kupima afya yake pindi anapoingia kwako. ●Ni muhimu dada kuwa na barua ya utambulisho kutoka kijiji alipotoka iliyosainiwa ns yenye muhuri na saini ya mwenyekiti wake ●Ni muhimu dada kuja na kithibitisho cha wazazi au walezi wake kuridhia kufanya kazi hapo na uwe na mawasiliano nao. ●Ni muhimu kuweka wazi ratiba za likizo ●Ni muhimu kuweka wazi matumizi yatakayokua juu yako na atakayojitegemea ●Ni muhimu kumuandalia ratiba ya kazi itakayomuongoza kwa siku nzima. ●Ikiwezekana binti akaguliwe vitu alivyokuwa navyo anavyof

JE UNATUMIA VIGEZO VIPI KUANZA MAHUSIANO MAPYA

Siku hizi tumejisahau sana!!! Wengi wetu angalau tumepata neema ya kusoma chekechea ama basi hata darasa la kwanza. Hiki huwa kipindi muhimu kwetu maana unaanza kuingia katika jamii, wale uliowazoea nyumbani sio utakaowakuta huko shule, namaanisha unakutana na watu wasiokuhusu kwa asilimia 100. Lakini kadri unavyoishi nao unajikuta mnafahamiana kisha mtakutana kwenye michezo kisha kuna kikundi cha watu wawili watatu ambacho utajikuta umeingia bila mpango ama kutambua ila basi tu ndio mmeendana na mnakua marafiki wa karibu (best friends) kuanzia hapo. Hii ndio stage kubwa ya mwanzo utaanza nahusiano. Ila utakubaliana na mimi pindi utakapohamia level ingine ya kielimu, wale wa nyuma utawasahau kabisa na ni wachache huweza kumaintain urafiki huu hadi utuuzima au hata mawasiliano tu. Kwanini nimetumia mfano huo? Hii ni sababu hata na utu uzima huu tumepoteza mahusiano ya wale watu wa muhimu kwetu wanaotuhusu asilimia 100 na kuingia katika kujali mahusiano na watu wasio

NEWS

NEWS
Kula lishe bora kuepuka hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukizwa.

Chagua afya leo.

EXCLUSIVE BREASTFEEDING

EXCLUSIVE BREASTFEEDING
Make sure your child gets breastfed exclussively for the first six months, the child shouod not be fed anything else not even water. This adds up to the child's immunity and increase chencea of proper development.
""AHSANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU, KARIBU TENA/ THANK YOU FOR VISITING OUR BLOG, YOU ARE WELCOME""